Saturday, 30 November 2013

MPIRA UMEISHA

Katika dakika 90 za mpira ambao umemaliza kati ya KENYA na washika mkia wa kundi SUDAN YA KUSINI kwa kenya kuibuka na ushindi wa 3-1.

Magoli ya kenya yamewekwa wavuni na...
Jacob keli
David Oiwo
Na huku lile la sudan likifungwa kwa free kick baada kutendeka madhambi nje ya kumi na nane ya kenya.

No comments:

Post a Comment