Peace and blessing for god with you . And hoping to you are fine my dear visitor. Continued to every time. Au wasiliana na mimi kupitia +255777583252
Monday, 4 November 2013
Kesi dhidi ya mohammedi morsi imeakhirishwa muda mfupi uliopita,baada ya morsi kufikishwa mahakamani kwa madai ya kuchochea mauaji,
Morsi aliwaambia majaji kuwa kesi dhidi yake sio halali,kwani yeye angali ni raisi wa misri,na ambae amechaguliwa kidemokrasia,
Baada ya kutamka matamshi yake yaliyo sababisha kesi kuakhirishwa,na majaji kusema kuwa kesi imeakhishwa hadi tarehe 8 january
Wanachama wengine 14 wa ngazi ya juu wa kundi la muslim brotherhood pia wameshitakiwa na mashitaka kama hayo...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment