Wednesday, 13 November 2013

NANI MWANA SOKA BORA ZAIDI AFRIKA:-majina ya wanao wania taji la BBC mwaka huu barani afrika,yametangazwa rasmin kupitia kipindi cha amka na BBC.*#YAYA TOURE:yupo katika orodha hiyo kwa mara ya tano mtawalia*#VICTOR MOSES na JOHN OBI MIKEL wa nigeria.*#JONATHAN PITRIPIA wa buki na faso,*#PIERRE-EMERIC,na AUBAMEYANG wa garbon. mshindi atakae teuliwa na wapiga kura wa kandanda hapo tarehe 25, saa 3 usiku kwa saa za afrika mashariki,ili kupiga kura tembelea tofuti hii:-http://bbc.co.uk/sport/0/football/african/ au kutumia namba ifuatayo +44 7786 20 20 08, *tuma 1 kumpiga pieree-emerc,aubameyang* tuma 2 kumpipia kura victor moses.* tuma 3 kumpigia kura john obi mikel,* tuma 4 kumpigia kura jonathan pitroipa* tuma 5 kumpigia kura yaya toure.***gharama ya ujumbe ni kulingana na kanuni za kimataifa***mshindi atatajwa jumatatu novemba 2 saa 2 na dakika thelathini na tano usiku.Saa za afrika mashariki katika kipindi cha BBC, (focus on africa) katika redio na runinga.

No comments:

Post a Comment