Dakika 90 za mpira zimemaliza kati ya zanzibar heroes na ethiopia 3-1huku goli la kufutia machozi la zanzibar likitiwa wavuni na Issa,
Na magoli ya ushindi ya ethiopia yakipachikwa wavuni na
Asfan,barcelomgo pamoja na youtan kedebe matokeo hayo ya ushindi ya meifanya ethiopia kuwa kileleni kwa point 4, na zanzibar kuwa wa pili kwa point 3..huku sudan ya kusini wa kishika mkia wa kundi hilo.
No comments:
Post a Comment