Ndugu kassim aliy kassim ambae alikuwa kamishna wa polisi katika miaka ya 80 amefariki dunia jana na kuzikwa kijijini kwao muyuni,
Ndugu kassim alizaliwa tarehe 10 december 1938, kisha mwaka 1972 alipata kazi ya serekali na akawa mkuu wa zima moto na kisha kuwa kamishna wa polisi hapo miaka ya 80, na kisha kufariki dunia tarehe 28/11/2013, marehemu ameacha vizuka wawili na watoto kumi na wawili.
No comments:
Post a Comment