Monday, 4 November 2013

Gareth bale awa ni miongoni mwa wachezaji 23 wanaogombania tunzo ya fifa mwaka huu,bale mwenye umri wa miaka 24,amewahi kuifungia tottenham hotspurs magoli 26 msimu uliopita,na msimu huu kutua REAL MADRID kwa paundi milioni 85, anagombania tunzo hiyo pamoja na wachezaji maarufu wengine kama vile... C.ronaldo Leonel messi Andres iniesta Neymar Xavi Ozil Oscar n.k

BALE

No comments:

Post a Comment