MADRID HISPANIA Mshambulia wa real madrid 'cristiano ronaldo' aipa madrid ushindi wa magoli 3-2 dhidi ya RAYO VALLECANO , magoli ya REAL MADRID yakipachikwa na mshambuliaji machachari C.RONALDO katika dakika ya "3" na "48" na bao la 3 KARIM BENZEMA dakika ya "31" na magoli ya RAYO VALLECANO yakipachikwa na JONATHAN VIERA katika dakika ya "53" na "55"...
No comments:
Post a Comment