Peace and blessing for god with you . And hoping to you are fine my dear visitor. Continued to every time. Au wasiliana na mimi kupitia +255777583252
Saturday, 9 November 2013
Cristiano Ronaldo apiga hat-trick ya kumi na tisa (19) kutua Real madrid,hat-trick 6 kati ya hizo amezifunga msimu huu, C.ronaldo amekamilisha hat-trick yake hiyo baada ya Real madrid kuitandika Real Sociedad kipigo cha magoli 5-1.
Magoli Real madrid yalipachikwa wavuni na:
C.ronaldo min 12',
Karim benzema min 18',
C.ronaldo (PG) min 26',
Sami khedira min 36',
C.ronaldo min 76'
Huku goli la pekee la Real Sociedad likipachikwa na Antonie Grienzmann dakika ya 61'
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment