Friday, 8 November 2013

Timu ya azam imemtimua kocha wake: Sterwet hall raiya wa uingereza hapo juzi baada ya kumaliza mzunguko wa kwanza wa ligi tanzania, azam sasa inashika nafasi ya pili baada ya kwenda sare na mbeya city ya magoli 3-3 hapo juzi wote wakiwa na point 27 wakati bingwa mtetezi yanga akiongoza ligi hiyo akiwa na point 28,baada ya kuicha Oljoro JKT magoli 3-0..

No comments:

Post a Comment