Peace and blessing for god with you . And hoping to you are fine my dear visitor. Continued to every time. Au wasiliana na mimi kupitia +255777583252
Tuesday, 5 November 2013
Mapigano yapamba moto DRC na wengi wakitoroka
Watu wote wa mji wa BUNAGANA kaskazini mwa DRC,wametoroka mapigano makali kati ya wanajeshi wa serekali na waasi wa M23,na inasemekana kuwa makombora yaliyorushwa na wanajeshi yamesababisha vifo vya watu wanne,majesi ya serekali siku ya jumatatu walikataa mazungumzo na waasi wa M23 waliokuwa wameahidi kusitisha vita, kwa ajili ya kufanya mazungumzo kati yao,
Karibu watu laki 8 wametoroka makwao tangu mgogoro huo kuanza hapo machi 2012...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment