Peace and blessing for god with you . And hoping to you are fine my dear visitor. Continued to every time. Au wasiliana na mimi kupitia +255777583252
Tuesday, 5 November 2013
Mende: tumewapiga M23 kazi imemalizika
Serekali ya jamuhuri ya kidemokrasia congo imesema majeshi yake kwa kushirikiano na kile kikosi maalum cha umoja wa kimataifa kilicho pewa uwezo wa kupambana na waasi wa M23,kimewapiga waasi hao katika ngome ya mwisho.
Msemaji wa serekali lambert mende amesema kuwa wapiganaji walio baki wa M23 wakawa wamekimbia, wamevuka mipaka au wameshajisalimisha, na inasadikiwa kiongozi wa waasi hao wa M23 sultan makenga ni miongoni wa walio vuka mipaka kwa kukimbia Rwanda au Uganda...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment