Monday, 2 December 2013

ROSE NDAUKA

Msanii wa tasnia ya uigizaji nchini "ROSE NDAUKA" amesema kuwa anataka kujipa likizo ya kuacha kazi hiyo kwa kipindi cha mwaka mzima.

Ameyazungumza hayo msanii huyo katika gazeti la mwanaspoti nukuu ya kuwa "nataka kujipa likizo ya mwaka mmoja kwa sababu ya kuzongwa na kazi nyingi kwa mda huu ila nikimaliza nitaendelea na kazi hiyo".

Pia rose ndauka amesema anataka kutoka furaha kwa washabiki wake wa filamu pindi tu atakapo maliza kazi hizo

No comments:

Post a Comment