Tuesday, 3 December 2013

Ben pol kutaka kurudi dodoma kufanya research ya mziki wa asili

Msanii na mkali wa R&B hapa nchini tanzania ben pol amesema anataka kurudi dodoma ili kufanya research ya mziki wake wa asili.

Msanii huyo ameeleza kuwa anataka kwenda dodoma kwa ajili ya kufanya show kisha kubaki huko huko ili kutimiza research yake hiyo.

No comments:

Post a Comment