Msanii wa muziki hapa tanzania nasib abdul ama diamond amezindia remix ya ngoma ya my number one kwa mara ya mwanzo mbele ya macho ya watoto waishio katika mazingira magumu dar es salaam.
Ngoma hiyo ambayo imegongwa nchini nigeria chini ya usimamizi wa kampuni ya nigeria na south africa kupitia producer clearence peter.
Mwana muziki huyo diamond ameigonga remix hiyo pamoja msanii mwengine kutoka nchini humo.
Tarehe 25 mwezi huu mchana diamond atakuwepo pale ukumbi wa leaders club mwanza.
No comments:
Post a Comment