Msanii redsan amegonga wimbo mpya na aliy kiba katika studio za homeboyz kenya.
Msanii huyo amegonga wimbo huo kupitia kwa produce wake sappy.
Producer sappy ameshare picha ya aliy kiba, redsan na sappy mwenyewe katika mtandao wa google ila
mimi sikuweza kuiweka hapa picha hiyo na samahani sana mpendwa msomaji.
No comments:
Post a Comment