Dakika 90 +4 zimemalizika katika uwanja wa furaha nchini kenya ambapo pambano kali lilipigwa kati ya kenya & zanzibar heroes.
Mpira huo umemaliza baada ya timu ya kenya kuichapa timu taifa ya zanzibar magoli mawili kwa sufuri 2-0 .
Magoli ya timu ya taifa ya kenya au harambe stars yalipachikwa wavuni mchezaji AIDO katika dakika ya 5 ya mchezo kupitia penanti baada ya beki wa zanzibar kumchezea madhambi mchezaji wa kenya.
Na goli la pili likipachikwa na ALLEN WANGA katika dakika ya 56 ya mchezo matokeo hayo yameifanya timu ya harambe stars kusonga hatua ya robo fainali huku zanzibar heroes na south sudan kurudi makwao.
No comments:
Post a Comment