Monday, 9 December 2013

20% KURUDI KWA MAN WALTER

Msanii na mshindi wa tunzo tano za kilimanjaro mwaka 2011 "abass kinzasa" a.k.a "twenty parcent".

Amesema amependa kurudiana na producer wake huyo kwa ajili ya kuwaridhisha washabiki na jamii nzima.

Pia 20% amesema kuwa amesema ametaarisha ngoma yake mpya iitwayo "subira yavuta kheri" anatarajia kuitoa hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment