Raisi wa mwanzo na aliyekuwa shujaa wa afrika ya kusini hayati NELSON RIHLAHLA MADIBA MANDELA amezikwa jana kijijini kwao QUNU.
Maelfu ya wananchi na viongozi wa ngazi tofauti duniani wamehudhuria katika mazishi hayo.
Hayati nelson mandela alizaliwa mnamo mwaka 1918 huku kijijini kwao QUNU.
Raisi mandela alifungwa kwa takribani miaka 27.
Miaka 5 kati ya hiyo alifungwa katika gereza la posmo.
Na miaka miwili alifungwa katika gereza la paarl.
Na miaka iliyobakia 20 alifungwa katika kisiwa cha RUBBEN ISLAND akibanja mawe na kokoto.
Raisi mandela amewahi kuandila kitabu mashuhuri sana kiitwacho LONG WALK TO FREEDOM.
No comments:
Post a Comment