Thursday, 5 December 2013

RAISI WA ZAMANI AFRIKA YA KUSINI (SOUTH AFICA ) AFARIKI DUNIA

Aliye kuwa raisi wa zamani na wa mwanzo afrika ya kusini nelson mandela amefariki dunia jana ya alkhamis tarehe 5 december 2013.

Nelson mandela amewahi kushinda tunzo ya nobel, na kutambulika sana afrika nzima.

Kwa mujibu wa taarifa iliyo tolewa na raisi wa sasa nchi hiyo jacob zumma amesema raisi mstaafu mandelea alilazwa kwa kipindi cha miezi mitatu kwa kusumbuliwa na ugonjwa wa mapafu.

Pia amesema nchi hiyo imepata majonzi makubwa mno kwa kuondokewa na mtu muhimu kama huyo.

Nelson mandela anakumbukwa kwa mambo tofauti likiwemo la kuondosha utumwa na kuleta uhuru nchini humo.

Pia kuondosha ubaguzi wa rangi.

Mungu amlaze mahali pema.raisi mandela amefariki akiwa na miaka 95.

Chanzo BONGO5/BBC NA CNN.

No comments:

Post a Comment