Tuesday, 17 December 2013

MWANAMKE MJAMZITO INDIA APATA 'MISCARRIAGE' NA KUPOTEZA WATOTO KUMI.

Mwanamke mmoja raiya wa india aitwae anjua amejifungua mimba ili haribika njiani na kupoteza watoto kumi kwa kifo.

Kwa mujibu wa gazeti la indian express limesema kuwa mwanamke huyo alijifungua njiani wakati alipo kuwa akiwahi hospitalini nakujifungua njiani watoto tisa kisha mtoto mmoja wa mwisho kujifungua hospitalini.

Kwa mujibu wa madaktari wamesema kuwa mume wa mwanamke huyo alikuja hospitali akiwa na kitamba kilicho viringwa na ndani mkiwa na watoto tisa walio fariki.

No comments:

Post a Comment