Friday, 6 December 2013

MWILI WA NELSON MANDELA KUZIKWA HADI TAREHE 15 DECEMBER.

Raisi wa afrika ya kusini (SOUTH AFRIKA) jacob zuma ametangaza kuwa mwili wa hayati nelson rihilahlahla mandele utazikwa hapo tarehe 15 december katika kijiji cha qunu wilayani estern cape.

No comments:

Post a Comment