Monday, 2 December 2013

MFALME WA RHUMBA CONGO AAGA DUNIA

aliekuwa gwiji wa rumba ''TABU LEY ROCHEREAU'' ameiaga dunia huko nchini ubelgiji. Mwana muziki huyo raiya wa DRC congo ambae ni mfalme wa tasnia ya rumba nchini humo, tabu ley ambae anasemekana kuzaliwa katika kipindi cha utawala wa wabelgiji mwaka 1937 au 1940. Mwana muziki huyo ambae alifariki akiwa na umri wa miaka 76 alifariki jumamosi huko ubelgiji. Tabu ley ambae alianza kuugua tangu mwaka 2008 kwa ugonjwa wa kiharusi.

No comments:

Post a Comment