Wednesday, 1 January 2014

*SNURA AMSHUKURU WEMA KWA KUMUINUA KIMUZIKI*

msanii na muigizaji wa filamu hapa nchini tanzania snura amemshukuru wema sepetu kwa kumuinua kimuziki. Ameseme snura kuwa "namshukuru wema kwa kuniunua kimuziki ameweza kunipatia pesa katika wimbo wangu wa mwanzo uitwao "shoga ake mama" . Pia wema amensaidia katika mavazi ya show tofauti ambazo nazifanya hapa nchini. Snura na wimbo wake wa "majanga" umeweza kumpatia pesa nyingi zaidi katika show tofauti kuliko wimbo wake mpya ambao unaitwa "nimevurugwa". CHANZO: DOMO LANGU

Tuesday, 24 December 2013

DIAMOND AZINDUA VIDEO YAKE REMIX YA MY NUMBER ONE

Msanii wa muziki hapa tanzania nasib abdul ama diamond amezindia remix ya ngoma ya my number one kwa mara ya mwanzo mbele ya macho ya watoto waishio katika mazingira magumu dar es salaam.

Ngoma hiyo ambayo imegongwa nchini nigeria chini ya usimamizi wa kampuni ya nigeria na south africa kupitia producer clearence peter.

Mwana muziki huyo diamond ameigonga remix hiyo pamoja msanii mwengine kutoka nchini humo.

Tarehe 25 mwezi huu mchana diamond atakuwepo pale ukumbi wa leaders club mwanza.

Thursday, 19 December 2013

MSANII REDSAN AGONGA WIMBO MPYA NA ALIKIBA

Msanii redsan amegonga wimbo mpya na aliy kiba katika studio za homeboyz kenya.

Msanii huyo amegonga wimbo huo kupitia kwa produce wake sappy.
Producer sappy ameshare picha ya aliy kiba, redsan na sappy mwenyewe katika mtandao wa google ila
mimi sikuweza kuiweka hapa picha hiyo na samahani sana mpendwa msomaji.

Tuesday, 17 December 2013

MWANAMKE MJAMZITO INDIA APATA 'MISCARRIAGE' NA KUPOTEZA WATOTO KUMI.

Mwanamke mmoja raiya wa india aitwae anjua amejifungua mimba ili haribika njiani na kupoteza watoto kumi kwa kifo.

Kwa mujibu wa gazeti la indian express limesema kuwa mwanamke huyo alijifungua njiani wakati alipo kuwa akiwahi hospitalini nakujifungua njiani watoto tisa kisha mtoto mmoja wa mwisho kujifungua hospitalini.

Kwa mujibu wa madaktari wamesema kuwa mume wa mwanamke huyo alikuja hospitali akiwa na kitamba kilicho viringwa na ndani mkiwa na watoto tisa walio fariki.

Sunday, 15 December 2013

HAYATI NELSON MADIBA MANDELA AZIKWA

Raisi wa mwanzo na aliyekuwa shujaa wa afrika ya kusini hayati NELSON RIHLAHLA MADIBA MANDELA amezikwa jana kijijini kwao QUNU.

Maelfu ya wananchi na viongozi wa ngazi tofauti duniani wamehudhuria katika mazishi hayo.

Hayati nelson mandela alizaliwa mnamo mwaka 1918 huku kijijini kwao QUNU.
Raisi mandela alifungwa kwa takribani miaka 27.
Miaka 5 kati ya hiyo alifungwa katika gereza la posmo.
Na miaka miwili alifungwa katika gereza la paarl.
Na miaka iliyobakia 20 alifungwa katika kisiwa cha RUBBEN ISLAND akibanja mawe na kokoto.
Raisi mandela amewahi kuandila kitabu mashuhuri sana kiitwacho LONG WALK TO FREEDOM.

Saturday, 14 December 2013

MEL B KULA SIKU KUU IKULU KWA PAUL KAGAME

Mwana muziki wa new york Mel b mwaka huu anatarajia kula siku kuu ya christmas ikulu kwa raisi wa uganda PAUL KAGAME.

Amesema mwaka jana amekwenda kula na kufurahia siku kuu hiyo nchini Austraulia.

Mwaka huu ameupata mwaliko huo kupitia kwa watoto wawili wa bwana kagame jijini new york ama NY.

Monday, 9 December 2013

20% KURUDI KWA MAN WALTER

Msanii na mshindi wa tunzo tano za kilimanjaro mwaka 2011 "abass kinzasa" a.k.a "twenty parcent".

Amesema amependa kurudiana na producer wake huyo kwa ajili ya kuwaridhisha washabiki na jamii nzima.

Pia 20% amesema kuwa amesema ametaarisha ngoma yake mpya iitwayo "subira yavuta kheri" anatarajia kuitoa hivi karibuni.